iqna

IQNA

Maulidi
IQNA – Waislamu nchini Ethiopia walisherehekea kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume (SAW) kwa sherehe za kidini kote nchini.
Habari ID: 3479448    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/17

Maulidi
IQNA – Wasimamizi wa Haram ya Imam Ridha (AS) katika mji wa Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran wamepanga vikao kadhaa vya Qur'ani Tukufu, wakibainisha kuwa zinalenga kulinda urithi wa Mtume Muhammad (SAW).
Habari ID: 3479447    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/17

Maulidi
IQNA - Maelfu ya watu wa mji wa Kairouan nchini Tunisia walikusanyika Jumamosi jioni kwenye Msikiti wa kihistoria wa Uqba ibn Nafi kusherehekea kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW), sherehe ambazo ni maarufu kama Milad un Nabii au Maulidi.
Habari ID: 3479446    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/17

Maulidi
IQNA – Hafla maalumu ya kusoma Qur'ani ilifanyika mjini Al-Khalil katika Masjid Ibrahimi kwa mnasaba wa Milad-un-Nabi au Maulidi ambayo ni maadhimisho ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtukufu Mtume Muhammad (SAW).
Habari ID: 3479444    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/16

Muqawama
IQNA – Wananchi wa Palestina katika mji mtakatifu wa al-Quds (Jerusalem)wamehimizwa na makundi mbalimbali kuzuru Msikiti wa Al-Aqsa kwa wingi katika mnasaba wa Milad –un-Nabi
Habari ID: 3479443    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/16

Maulidi
Misikiti ya IQNA – Misikiti nchini Misri ikiwemo ile inayonasibishwa na Ahl-ul-Bayt (AS), hususan Msikiti wa Imam Hussein (AS) na Msikiti wa Sayyidah Zainab (SA) mjini Cairo inatayarishwa kwa ajili ya sherehe za Milad-un-Nabi.
Habari ID: 3479424    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/12

Maulidi
IQNA - Mamlaka na watu huko Sana'a, mji mkuu wa Yemen, katika wiki za hivi karibuni wamekuwa wakifanya maandalizi ya kufanya Sherehe za Milad-un-Nabi. Sherehe hizi ni za kila mwaka hufanyika kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtukufu Mtume Muhammad (SAW).
Habari ID: 3479404    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/09

Milad un Nabii
AL-QUDS (IQNA) - Wapalestina waliadhimisha Maulidi yaani kumbukumbu ya kuzaliwa Mtume Muhammad (SAW) huko Al-Khalil na hasa katikak Msikiti Ibrahim huku kukiwa na vikwazo vikali vilivyowekwa na utawala haramu wa Israel ambao unaongoza kampeni ya kupinga Maulidi.
Habari ID: 3477668    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/29

Milad un Nabii
ALGIERS (IQNA) - Waziri Wakfu na Masuala Kidini wa Algeria katika kikao na wasimamizi wa wizara hiyo walijadili kufanya sherehe za kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW) yaani Maulidi au Milad un Nabii.
Habari ID: 3477658    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/26

Maulid ya Mtume Muhammad (SAW)
BIRMINGHAM (IQNA) - Kundi la wanazuoni, wasomi, na viongozi wa kidini na wa kijamii kutoka duniani kote wanakutana mwezi ujao katika Kongamano la kwanza la kila mwaka la "Maisha ya Mtume Muhammad (SAW)", tukio lililopangwa kubadilishana maarifa na kubadilishana maoni kati ya Waislamu na wasio Waislamu.
Habari ID: 3477510    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/28

Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Mkutano mjini London umejadili chimbuko la Chuki Dhidi ya Uislamu (Islamophobia) , ukitoa wito kwa Waislamu kujenga umoja ili kukabiliana na hali hii.
Habari ID: 3475952    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/19

Mtume Muhammad SAW
TEHRAN (IQNA) - Mtume Muhammad (SAW) alianzisha miundo mipya ya usimamizi wa mji wa Madina kama mji mkuu wa ulimwengu wa Kiislamu. Alichokiunda kinaweza kuchukuliwa kuwa kielelezo cha kujenga jamii na kusimamia masuala ya ulimwengu.
Habari ID: 3475922    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/13

Maulid ya Mtume Muhammad SAW
TEHRAN (IQNA) – Waziri Mkuu wa Pakistani ametuma salamu za kheri na pongezi kwa dunia nzima, hususan Umma wa Kiislamu, mwanzoni mwa mwezi mtukufu wa Rabi Al-Awwal.
Habari ID: 3475849    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/28

TEHRAN (IQNA)- -Maelfu ya watu kutoka kote duniani wamehudhuria sherehe za Maulid ya Mtume Muhammad SAW ambazo zimefanyika katika Kisiwa cha Lamu eneo la Pwani ya Kenya.
Habari ID: 3474508    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/03

TEHRAN (IQNA)- Baada ya kusitishwa kwa muda wa takribani miezi ishirini jijini Tehran na katika miji na maeneo mengine ya Iran kutokana na maambukizi ya virusi vya corona, Swala ya Ijumaa imefanyika leo mjini Tehran ikishirikisha matabaka mbalimbali ya wananchi.
Habari ID: 3474457    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/22

TEHRAN (IQNA)- Mamilioni ya watu wa Yemen wamejitokeza katika Maulidi ya Mtume Muhammad SAW y katika miji mbalimbali ya Yemen ukiwemo mji mkuu Sanaʽa.
Habari ID: 3474440    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/19

TEHRAN (IQNA)- Sherehe za kukumbuka kuzaliwa Mtume Muhammad SAW maarufu kama Milad un Nabii au Maulidi zimefanyika Jumapili jioni katika msikiti wa kihistoria wa Al Nuri nchini Iraq ambao unajengwa upya baada ya kuharibiwa vibaya na magaidi wa ISIS au Daesh.
Habari ID: 3474438    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/18

TEHRAN (IQNA)- Sherehe za kukumbuka kuzaliwa Mtume Muhammad SAW maarufu kama Milad un Nabii au Maulidi zimefanyika Jumapili jioni katika misikitini mbali mbali ya mji mkubwa zaidi Uturuki, Istanbul.
Habari ID: 3474437    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/18

TEHRAN (IQNA)- Mkutano wa 35 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu utafanyika Tehran na kushirikisha wasomi 50 maarufu duniani.
Habari ID: 3474429    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/16

TEHRAN (IQNA)- Mkurugenzi wa Taasisi ya Mustafa (saw) amesema kuwa wanasayansi watano Waislamu wametunukiwa tuzo ya taasisi hiyo ya mwanasayansi bora katika Ulimwengu wa Kiislamu mwaka huu wa 2021.
Habari ID: 3474418    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/13